OKWI NDANI YA AFRIKA KUSINI
Mshambuliaji Emmanuel Okwi, ametua katika kambi ya Simba nchini Afrika Kusini na leo asubuhi ameanza mazoezi.
Okwi ameanza mazoezi na wenzake katika kambi ya timu hiyo jijini Johannesburg, Afrika Kusini.
Mshambuliaji Emmanuel Okwi, ametua katika kambi ya Simba nchini Afrika Kusini na leo asubuhi ameanza mazoezi.
Okwi ameanza mazoezi na wenzake katika kambi ya timu hiyo jijini Johannesburg, Afrika Kusini.
Maoni
Chapisha Maoni