NDOA YA MTIBWA NA OMOG IMEKUFA



💥R A S M I

✍️Klabu ya Mtibwa Sugar imeachana na Kocha Mkuu Joseph Omog 🇸🇳 licha ya klabu hiyo kupata ushindi dhidi ya Biashara United hapo jana.

Tetesi zinasema kuwa Mtibwa Sugar wana mpango wa kumchomoa Kocha Mbwana Makata kutoka kunako Klabu ya Dodoma Jiji.

#@wingi_van_moses

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MBARAKA YUSUPH BADO HALI TETE

NIYONZIMA AAHIDI ZAWADI KWA KAZIMOTO