Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Desemba 13, 2021

JEREMIA KISUBI AOMBA KUONDOKA SIMBA

Picha
CONFIRMED!! Golikipa wa Klabu ya Simba SC,Jeremiah Kisubi ameomba kuondoka kwa mkopo ndani ya Klabu hiyo kwenye Dirisha dogo la Usajili litakalofunguliwa Disemba 15 Mara baada ya kushindwa kupenya kwenye Kikosi Cha Kwanza Cha Simba na kuishia kuwa chaguo namba tatu. Kisubi ameomba kurejeshwa kwenye Klabu yake ya zamani ya Tanzania Prisons ambapo waajiri wake hao wa zamani wamemwambia kuwa wapo tayari kumlipa Mshahara robo ya ule anaopokea Simba SC kwa mda wote wa mkopo na robo tatu inayobaki wamlipe Simba. Bado hawajafikia maridhiano Kati ya Simba na Tanzania Prisons na Kila kitu kikikaa sawa Kisubi ataonekana tena Prisons kuanzia Dirisha dogo litakapofunguliwa. #wingi_van_mosesUpdates

MOO ARENA KUJENGWA KISASA

Picha
Kutoka kwa moo           "Nimepokea maoni mengi ya WanaSimba wenzangu wakishauri tujenge uwanja wetu na wako tayari kuchangia ili tufanikishe ujenzi huo.  Naomba kuweka wazi kwamba nimepokea maoni hayo kwa mikono miwili. Naomba Bodi ya Simba kukaa na kuja na utaratibu wa haraka ili jambo hili lianze utekelezaji.  Kwa Kuanza naahidi kuchangia Tsh. 2 billioni. Nawaomba wanasimba tuchange sote." Mohammed Dewji- Rais wa Heshima wa klabu ya Simba @moodewji  @simbasctanzania @wingi_van_moses

NDOA YA MTIBWA NA OMOG IMEKUFA

Picha
πŸ’₯R A S M I ✍️Klabu ya Mtibwa Sugar imeachana na Kocha Mkuu Joseph Omog πŸ‡ΈπŸ‡³ licha ya klabu hiyo kupata ushindi dhidi ya Biashara United hapo jana. Tetesi zinasema kuwa Mtibwa Sugar wana mpango wa kumchomoa Kocha Mbwana Makata kutoka kunako Klabu ya Dodoma Jiji. #@wingi_van_moses