MESSI NA MSUVA WALIVYOPIGA KAZI LEO

Kiungo Mtanzania, Ramadhani Singano 'Messi' akiichezea timu yake mpya, Difaa Hassan El Jadida mchezo wa kirafiki leo nchini Morocco

Winga Mtanzania, Simon Msuva naye alipangwa kwa mara ya kwanza Difaa Hassan El Jadida baada ya kusaini mkataba wa miaka mitatu

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MBARAKA YUSUPH BADO HALI TETE

NIYONZIMA AAHIDI ZAWADI KWA KAZIMOTO