HAWA NDO WANAUME WA YANGA MSIMU WA 2017-2018
Hawa ndio wanaume 25 ambao watautetea ubingwa wa VPL wa Yanga katika msimu wa 2017/18! Ukionaje kikosi hiki, wewe mpenzi wa Yanga umeridhika na usajili uliofanywa kipindi hiki cha dirisha la usajili?? Uimara na udhaifu wa kikosi upo kwenye eneo gani?
Maoni
Chapisha Maoni