HAWA NDO WANAUME WA YANGA MSIMU WA 2017-2018

Hawa ndio wanaume 25 ambao watautetea ubingwa wa VPL wa Yanga katika msimu wa 2017/18! Ukionaje kikosi hiki, wewe mpenzi wa Yanga umeridhika na usajili uliofanywa kipindi hiki cha dirisha la usajili?? Uimara na udhaifu wa kikosi upo kwenye eneo gani?

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MBARAKA YUSUPH BADO HALI TETE

NIYONZIMA AAHIDI ZAWADI KWA KAZIMOTO