Machapisho

OMONG ALIANZA NA KIKOSI HIKI MECHI YAKE YA KWANZA

Picha
OMOG ALIANZA NA KIKOSI HIKI MECHI YAKE YA KWANZA, SIMBA IKILALA 1-0 VS ORLANDO HUKO SAUZ 1. Said Mohamed ‘Nduda’ 2. Ali Shomari  3. Jamal Mwambeleko  4. Salim Mbonde  5. Erasto Nyoni  6. Jonas Mkude 7. Jamal Mnyate 8. James Kotei 9. John Bocco  10. Emmanuel Okwi  11. Mohammed Ibrahim

SIMBA YAGONGWA KIMOKO BONDENI

Picha
VIGOGO wa soka Tanzania, Simba SC leo wame wamepoteza mchezo wao wa kwanza wa kujipima nguvu katika kambi yao ya Afrika Kusini kujiandaa na msimu mpya baada ya kufungwa 1-0 na wenyeji, Orlando Piates mjini Johannesburg. Kwa mujibu wa Msemaji wa Simba SC, Hajji Sunday Manara, Simba inayofundishwa na kocha Mcameroon, Joseph Marius Omog ilicheza vizuri pamoja na kufungwa. Kipa mpya wa Simba, Aishi Manula (kulia) kutoka Azam FC akiwa kambini Afrika Kusini“Kwa mujibu wa maelezo ya benchi la Ufundi, mchezo ulikuwa mzuri na timu ilicheza vizuri, lakini bahati ilikuwa wenyeji Pirates kupata ushindi huo. Manara alisema Omog anayesaidiwa na Mganda, Jackson Mayanja aliwapa nafasi karibu wachezaji wote leo kucheza, akipanga vikosi viwili tofauti kila kipindi. Simba inatarajiwa kushuka tena dimbani Alhamisi kumenyana na mabingwa wa Afrika Kusini, Bidvest Wits kabla ya kurejea Dar es Salaam tayari kwa mchezo dhidi ya Rayon Sports ya Rwanda Agosti 8, mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ...

UTABIRI WA KIKOSI CHA YANGA

Picha
Bila kupepesa macho hiki ndio kitakuwa kikosi cha kwanza cha yanga msimu wa 2017-2018.... je wewe unaonaje...???

TETESI ZA SOKA ULAYA JUMANNE 01.08.2017

Picha
TETESI ZA SOKA ULAYA JUMANNE 01.08.2017 Mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa, 28, hatojiunga na kikosi cha kwanza kwa ajili ya kuanza mazoezi siku ya Jumanne huku akiendelea kufuatilia uhamisho wake kuondoka Stamford Bridge. (Marca) Meneja wa Juventus Massimiliano Allegri ameiambia Chelsea kuwa hawatomuuza beki wa kushoto Alex Sandro, 26. (Sport Mediaset) Meneja wa Chelsea Antonio Conte anataka kumsajili kiungo wa Leicester City Danny Drinkwater, 27, baada ya Nemanja Matic kwenda Man Utd. (Mail) Meneja wa Liverpool Jurgen Klopp huenda akaamua kumfuatilia kiungo wa Bayern Munich Renato Sanches, 19, iwapo Philippe Coutinho, 25, ataondoka kwenda Barcelona. (Bild) Bayern Munich wamekataa dau la pauni milioni 10 kutoka kwa AC Milan wanaomtaka Renato Sanches, 19, kwa mkopo. (Le10Sport) Beki wa Southampton Virgil van Dijk, 26, atakuwa na mazungumzo na meneja wake mpya Mauricio Pellegrino, wiki hii, huku Liverpool wakijiandaa kuvunja rekodi yao ya usajili kumchukua beki huyo wa kimataifa ...

HARUNA NIYONZIMA RASMI SIMBA UTAKE USITAKE

Picha
Afisa Habari wa klabu ya Simba amethibitisha kwamba Haruna Niyonzima ni mchezaji halali wa klabu hiyo mara baada ya kumaliza mkataba na klabu yake ya zamani Yaga ambayo aliichezea hadi msimu uliopita. Kulikuwa na tetesi nyingi kuanzia kwenye vyombo vya habari, mitandao ya kijamii na hata kwa wadau mbalimbali kuhusu Niyonzima kusainiwa na Simba lakini klabu hiyo haikuthibitisha mapema hilo. “Haruna Niyonzima ni mchezaji halali wa Simba tumeshamalizana nae, ameshamaliza mkataba na club aliyokuwa anaitumikia atakuja Simba. Anaweza akaenda South Africa kuungana na kikosi au anaweza kuja moja kwa moja Dar katika safari moja na Rayon Sport na atacheza mechi ya kirafiki dhidi ya Rayon Sports siku ya Simba Day,” – Haji S. Manara Afisa Habari Simba SC. Yanga tayari walishatoa taarifa mapema kwamba hawakufikia makubaliano na Niyonzima baada ya star huyo wa Rwanda kutaka dau kubwa ili aongeze mkataba mpya wa kubaki Yanga. Kwa sasa Niyonzima yupo Rwanda mapumzikoni tangu kuma...

HARUNA NIYONZIMA RASMI SIMBA UTAKE USITAKE

Picha
Afisa Habari wa klabu ya Simba amethibitisha kwamba Haruna Niyonzima ni mchezaji halali wa klabu hiyo mara baada ya kumaliza mkataba na klabu yake ya zamani Yaga ambayo aliichezea hadi msimu uliopita. Kulikuwa na tetesi nyingi kuanzia kwenye vyombo vya habari, mitandao ya kijamii na hata kwa wadau mbalimbali kuhusu Niyonzima kusainiwa na Simba lakini klabu hiyo haikuthibitisha mapema hilo. “Haruna Niyonzima ni mchezaji halali wa Simba tumeshamalizana nae, ameshamaliza mkataba na club aliyokuwa anaitumikia atakuja Simba. Anaweza akaenda South Africa kuungana na kikosi au anaweza kuja moja kwa moja Dar katika safari moja na Rayon Sport na atacheza mechi ya kirafiki dhidi ya Rayon Sports siku ya Simba Day,” – Haji S. Manara Afisa Habari Simba SC. Yanga tayari walishatoa taarifa mapema kwamba hawakufikia makubaliano na Niyonzima baada ya star huyo wa Rwanda kutaka dau kubwa ili aongeze mkataba mpya wa kubaki Yanga. Kwa sasa Niyonzima yupo Rwanda mapumzikoni tangu kuma...

MWANARIADHA USAIN BOLT AFANANISHWA NA MUHAMMED ALI

Picha
Mwanariadha Usain Bolt afananishwa na Muhammed Ali Usain Bolt ana kipaji na ana ushawishi mkubwa miongoni mwa wanariadha kama Muhammed Ali alivyokuwa na ushawishi miongoni mwa mabondia, alisema Lord Coe. Bingwa huyo wa mbio fupi ambaye ameshinda medali ya dhabau katika michezo ya olimpiki mara nane anatarajiwa kustaafu baada ya mashindano ya ubingwa mjini London, yalioanza siku ya Ijumaa. Coe alimfananisha raia huyo wa jamaica na mmoja wa wanamichezo mashauri duniani Muhammed Ali. Ni bingwa wa mbio fupi duniani, alisema Coe ambaye ndiye rais wa Shirikisho la Wanariadha Duniani (IAAF). "Usain Bolt ana kipaji, Siwezi kumfananisha na mwanamichezo mwingine yeyote yule zaidi ya Muhammad Ali ambaye amekuwa na ushawishi mkubwa nje na ndani ya michezo." Unaweza kuanzisha mjadala kuhusu ni nani mchezaji bora wa soka duniani ama mchezaji wa tenis bora, lakini hakuna mjadala kuhusu Bolt katika mbio fupi. Mwanariadha huyo wa Jamaica alishinda mbio za mita 100, 200 na 4 mara 100 k...